Katika kipindi cha leo, Prof. Monda anamhoji Dr. Patrick Nhigula wa chuo kikuu cha South Carolina. Wanazungumzia mustakabali wa masuala ya kikatiba, uchaguzi, uraia pacha kwa wanadiaspora na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Karibu kwenye kipindi!
Katika kipindi cha leo, Prof. Monda anamhoji Dr. Patrick Nhigula wa chuo kikuu cha South Carolina. Wanazungumzia mustakabali wa masuala ya kikatiba, uchaguzi, uraia pacha kwa wanadiaspora na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Karibu kwenye kipindi!