Kwa nini baadhi ya wanaume huwachumbia wake za watu wakijua fika kuwa wameolewa? Je, wa kulaumiwa ni nani? Wananchi wanatoa kauli zao kulihusu suala hili vilevile ushauri wa mtaalam.
Kwa nini baadhi ya wanaume huwachumbia wake za watu wakijua fika kuwa wameolewa? Je, wa kulaumiwa ni nani? Wananchi wanatoa kauli zao kulihusu suala hili vilevile ushauri wa mtaalam.