Ufufuaji wa Ikolojia ya Ziwa Challa

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Haya ni makala maalum kuhusu uhifadhi wa ikolojia ya Ziwa Challa, lililo kwenye mpaka wa Kenya na Tanzania, karibu na mji wa Taveta, kutoka Kenya. Wakazi wa eneo hilo wameungana kuweka mikakati ya kufufua hali asilia ya ziwa na msitu wa Challa, ili kurejesha hali ya anga ya kitambo. Mwandishi wetu Steve Mokaya alitembelea eneo hilo na kuandaa makala ifuatayo

Share this episode
Kibaki & Karume were banned from carving goat ribs| Echoes From The Past
Welcome to Echoes From the Past- a podcast by the Standard Group that captures interesting snippets ...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS