Huduma Mbovu Mama Lucy Hospital | Podcast
General Podcasts
Oct. 16, 2022
Hospitali ya Mama Lucy, Nairobi ni kitovu cha huduma duni za afya: kuna msongamano wa wagonjwa hasa akina mama wanaojifungua, kutohudumiwa kwa haraka, ukosefu wa faragha na hata vifo kutokea. Mwanahabari wetu, Rosa Agutu amefanya uchunguzi na kubainisha uozo wenyewe katika Podcast hii.
RELATED EPISODES
Why Health Insurance Matters for Kenyans