Baa la njaa; tupande mimea aina-aina | Sepetuko Podcast
Sepetuko
Oct. 14, 2022
Baa la njaa limekuwa likizua kero kwa miaka mingi nchini Kenya. Ipo haja ya kutegemea mimea mbalimbali ya chakula - si mahindi pekee.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa