Sauti ya Vijana Haipuuzwi Tena

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Maandamano yanayoendelezwa dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 ni ukumbusho kwa serikali kuhusu jinsi sauti ya vijana imekuwa ikipuuzwa. Vijana wanakumbwa na changamoto mbalimbali, kuu miongoni mwazo, ikiwa ni ukosefu wa ajira nchini. Serikali haina budi kutafakari mbinu mahsusi ya kutatua hili na changamoto nyingine zinazowakumba vijana.

Share this episode
Budget Vs Gen Z: Is UDA Tone Deaf?
In today's episode of The Situation Room podcast, we host Brian Higgins Mbugua, Deputy Executive Dir...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS