Miaka 30 ya Kusubiri-Mwanajeshi Mstaafu Ahangaika Kupata Pensheni

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Isaiah Ochanda, Afisa wa Jeshi aliyestaafu alifika mbele ya Kamati ya Ulinzi ya Seneti akiwa kwenye kitanda cha hospitalini. Ochanda alistaafu kutoka Jeshini miaka ya 1990s na kwa miaka hiyo yote juhudi zake za kupata pesa zake za baada ya kustaafu zimegonga mwamba. Kulikoni? Mbona wafanyakazi wa serikali waliostaafu hutaabishwa mno kupata malipo ya uzeeni? Iko wapi serikali kuangazia suala hili?

Share this episode
The Story of Lilian Atho, CEO, Real Time Global: Late Night Business Podcast
Welcome to Late Night Business! Today, we're thrilled to have Lilian Atho, the founder and CEO of Re...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS